• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Departiment
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maliasili na Utalii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utumishi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Information, Technology, Communication and Public Relation
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
    • Kilimo
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
      • Kata ya Mbati
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Maji

  


 ENG. BARTHOLOMEN BARNABAS MATWIGA

       MKUU WA IDARA

Idara ya maji ni miongoni mwa Idara 13 zilizopo katika Halmashauri ya wilaya ya Tunduru. Idara ina jumla ya watumishi 17 Mhandisi 1, Fundi Sanifu 13, Mlinzi 1 na Mtunza kumbukumbu 1. Pia Idara ina gari mbili (2) ambazo hutumika katika kutoa huduma na kushughulikia kazi za kila siku katika idara.

SHUGHULI ZA  IDARA.

  • Kuatayarisha mikakati ya masuala yote ya maendeleo na mipango thabiti ya uendelezaji rasilimali  maji katika Wilaya na kufuatilia utekelezaji wake pamoja na bajeti ya muda mfupi na mrefu wa matumizi ya rasilimali za maji
  • Kusimamia utekelezaji wa mpango wa hifadhi ya mazingira kwenye vyanzo vya maji
  • Kuhamasisha na kutoa elimu kwa wananchi juu ya uendelezaji na utunzaji wa rasilimali maji ikiwa ni pamoja na utumiaji wa maji salama
  • Kutayarisha taarifa za utekelezaji wa miradi ya maji Wilaya za kila wiki, Mwezi  na Robo mwaka na kuwasilisha kwenye mamlaka husika.
  • Kusimamia uchimbaji wa Visima vya maji na kuhakiki uwezo wa visima kutoa maji (Pump test) pamoja na nukarabati wa vituo vya kutolea maji vilivyopo Wilayani
  • Kutembelea kutoa ushauri na kukagua ufanisi bora wa utekelezaji wa miradi ya maji inayotekelezwa kwenye maeneo ya kata na vijiji
  • Kuandaa BOQ za miradi ya rasilimali maji inayotakiwa kutekelezwa Wilayani na kuziwasilisha kwenye mamlaka zinazotakiwa
  • Kuhakikisha miradi yote ya rasilimali maji inatekelezwa katika muda uliopangwa kulingana na fedha iliyotolewa na kwa kiwango kinacho takiwa kulingana na BOQ iliyo andaliwa
  • Kutumia, Kutunza na kusimamia matumizi bora ya mali zote za serikali zilizokabidhiwa idara ya maji
  • Kumshauri Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kuhusu masuala mbalimbali yanayotokana na rasilimali maji.
  • Kufanya kazi kadri zinavyo agizwa na mamlaka za juu.

SEHEMU KATIKA IDARA.

Idara ya maji ina sehemu kuu mbiliambazo ni  

  • Maji Mjini  ambayo husimamiwa na Meneja wa mamlaka  chini ya Bodi ya Wakurugenzi
  • Maji vijijini ambayo husimamiwa na Mhandisi wa Maji Wilaya Chini ya Mkurugenzi Mtendaji (W)

 MIRADI YA MAJI ILIYOTEKELEZWA NA INAYOTEKELEZWANA IDARA

Halmashauri inatekeleza jumla ya miradi 4 ya maji katika vijiji vya Lukumbule, Amani/Chiungo/Meamtwaro, Matemanga na Mbesa. Aidha miradi 2 katika vijiji vya Amani na Lukumbule imekamilika na inatoa huduma ya maji kwa wananchi wapatao 17,430 . Aidha wananchi wapatao 23,401 wanakusudiwa kupata huduma ya maji baada ya miradi mitatu ya Matemanga, Mtina na Mbesa  kukamilia.  Taarifa ya mradi mmojammoja ni kama ifuatavyo;-


Matangazo

  • MATOKEO YA FORM FOUR 2022 - 2023 February 01, 2023
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • BILIONI 223.9 WILAYA YA TUNDURU

    March 25, 2023
  • SALAMU ZA PONGEZI

    March 19, 2023
  • MIONGOZO UENDESHAJI VYAMA VYA USHIRIKA

    March 17, 2023
  • WAKULIMA KOROSHO NA SOKO JIPYA

    March 14, 2023
  • Ona Zote

Video

MAADHIMISHO SIKU YA WANANWAKE
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.