• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Video

  • MKAGUZI WA NDANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU AKISOMA TAARIFA YA UKAGUZI WA WILAYA.

    July 17th, 2024

    Mkaguzi wa Ndani Bwn. Imani Bukuru toka Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru akisoma taarifa ya ukaguzi wa Wilaya, katika kikao maalum cha baraza la madiwani wa kupitia ripoti ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali pamoja na hoja za ukaguzi kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

  • Kata ya Mbati yapokea fedha kiasi cha shilingi 560,552,827.00 za ujenzi wa Shule Mpya.

    July 16th, 2024

    Mtaalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mhandisi Ramadhani Magaila akielezea jinsi mradi utakavyokuwa katika kijiji cha Mbati.

  • ZAIDI YA BILIONI 6 KUJENGA MRADI WA UMWAGILIAJI TUNDURU.

    July 16th, 2024

    Katika hatua kubwa ya kuimarisha sekta ya kilimo na kuongeza uzalishaji wa chakula, Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imeidhinisha kuanza kwa mradi mkubwa wa umwagiliaji katika Kijiji cha Nambarapi, Kata ya Masonya, Wilaya ya Tunduru. Mkandarasi aliyepewa dhamana ya kutekeleza mradi huu ataanza kazi tarehe 29.07.2024, na unatarajiwa kukamilika ndani ya miezi 18, kufikia tarehe 31 Desemba, 2025.

    Makabidhiano ya mradi huu wenye thamani ya shilingi bilioni 6,314,477,066.00 baina ya Tume ya Taifa ya umwagiliaji kwa mkandarasi yamefanyika kwa sherehe za hadhara katika kijiji cha Nambarapi, zimehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe. Simon Chacha, ambaye alikuwa akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • Next →

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 24, 2025
  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 24, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2022/2023 July 24, 2023
  • TANGAZO LA MAENEO YA UTAWALA YA HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU KWA AJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA wa mkopo wa asilimia 10 Tunduru wapewa mafunzo

    February 27, 2025
  • MIRADI YA ELIMU TUNDURU

    February 21, 2025
  • MIRADI YA ELIMU TUNDURU

    February 21, 2025
  • TUNDURU yafaidika na semina ya uwekezaji wa dhamana kutoka BOT

    February 20, 2025
  • Ona Zote

Video

WANANCHI WAENDELEA KUPATIWA MAFUNZO KWA VITENDO ILI KUTATUA MIGONGANO YA BINADAMU NA WANYAPORI.
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Ajira Serikalini
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Wizara ya fedha
  • Bunge

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.