• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Wafugaji wasiofuata Mwongozo wa Serikali Kuondolewa Tunduru

Imewekwa : February 1st, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru kupitia maagizo ya Mwaka 2008 hadi 2011 kutoka Serikali Kuu ilitenga Vitalu 279 katika Kata 8 amabazo ni Tinginya, Mindu, Muhuwesi, Misechela, Jakika,Nandembo,Ligunga na Namakambale ambavyo Vitalu hivyo upatikana katika Vijiji 11 ikumbukwe wakati huo wa kuunda Vitalu hivi Jamii husika ilishirikishwa kikamilifu katika mikutano na vikao mbalimbali.

Dc Mtatiro kupitia Kikao Cha Baraza la Madiwani amewataka Wafugaji wote kurejea katika Vitalu amabavyo walipangiwa ili kuepusha migogoro kati ya Wakulima na Wafugaji kwani ukizingatia kipindi hiki cha Kilimo na asili ya Wilaya ya Tunduru ni Kilimo na sio Ufagaji wa Makundi makubwa ya Mifugo.

Mh. Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Msomi Julius Mtatiro aliendelea kusema “Wafugaji wasiofuata Mwongozo na kanuni za Wizara ya Mifugo ikiwemo kuwataka Wafugaji walipie Vitalu ambavyo wanatakiwa waishi na Mifugo yao, kwa Mfugaji ambae hatalipia Vitalu na kutokaa kwenye kitalu huyo atatakiwa kuondolewa Tunduru na aelekee nje ya Mkoa wa Ruvuma kwani kwa Mkoa wa Ruvuma ni Halamashauri ya Wilaya ya Tunduru Pekee iliyotenga Vitalu”.

Aidha Dc Mtatiro aliwaeleza Madiwani kuwa “Operesheni ya Mifugo itakuwa endelevu mpaka pale Wafugaji watakapo tambua wajibu wao wakukaa kwenye Vitalu na Kuvilipia pia Dc Mtatiro alitoa Onyo Kali kwa Wenyeviti wa Vijiji na Watendaji wa Vijiji wanaojichulia sheria mkononi ya kuwakaribisha Wafugaji kwenye kijiji bila ya Wanakijiji kushirikishwa, pia ukizingatia Kijiji hakina eneo lililo tengwa kwajili ya Vitalu”.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • SULUHU YA KUDUMU Maji Tunduru Yapatikana: Mkataba Wa Bilioni 3.2 Wasainiwa

    May 07, 2025
  • BODI Ya Wakurugenzi wa Mamlaka Ya Maji Na Usafi Wa Mazingira Tunduru (TUUWASA) Yazinduliwa

    May 07, 2025
  • TUNDURU Yajizatiti Kukabiliana na Ugonjwa wa Mpox.

    March 27, 2025
  • TUNDURU Yaungana katika Dua na Iftar

    March 24, 2025
  • Ona Zote

Video

WANANCHI WAENDELEA KUPATIWA MAFUNZO KWA VITENDO ILI KUTATUA MIGONGANO YA BINADAMU NA WANYAPORI.
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.