• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

VIONGOZI ngazi ya Vijiji kunolewa usimamizi wa Miradi Tunduru.

Imewekwa : October 10th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru imeendesha mafunzo kwa Viongozi ngazi ya kijiji,kitongoji na Mtaa, mafunzo hayo yalifanywa kuanzia Oktoba 09 -10, 2023.

Mafunzo hayo yalilenga kuwajengea uwezo juu ya Usimamizi wa fedha, uibuaji na usimamizi wa Miradi na utaratibu wa manunuzi. Mafunzo hayo yalisimamiwa na idara ya Maliasili na Hifadhi ya Mazingira.

Pichani (Aliyesimama): Mkuu wa Idara ya Maliasili na Uhifadhi (W) Tunduru Ndg, Dunia Almasi

Mafunzo hayo yamekuja baada ya vijiji hivyo kuanza kupokea fedha za awali zitokanazo na biashara ya Hewa Ukaa, ambapo, Vijiji vipatavyo 21 vimeingia katika biashara hiyo. Vijiji 10 kutoka jumuiya ya uhifadhi ya Narika na Vijiji 11 kutoka jumuiya ya uhifadhi Chingoli, ambapo hadi sasa vimepokea jumla ya fedha shilingi milioni 27.

Akizungumza ofisini kwake Mkuu wa Idara ya Maliasili na Uhifadhi (W) Tunduru Ndg, Dunia Almasi, ametoa rai kwa wanajamii na jamuiya za uhifadhi kuendelea kutunza Maeneo ya misitu, kwani imekuwa ni moja ya kichocheo cha maendeleo hasa katika vijiji.

“Jamii zetu zimetunza haya maeneo ya misitu, jamii inakwenda kunufaika na shughuli za maendeleo na kuweza kutatua kero zitokanazo na Mazingira”. Alisema.

Halmashauri ya wilaya ya Tunduru inatarajia kuingia mkataba ili kuanza kufanya biashara na mwekezaji wa Biashara ya hewa ukaa, ambapo vijiji vipatavyo 21 vinatarajiwa kuingia katika bishara hiyo, vijiji hivyo vinatoka katika jumuiya mbili za uhifadhi zilizopo wilayani Tunduru ambazo ni Narika na Chingoli.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • SULUHU YA KUDUMU Maji Tunduru Yapatikana: Mkataba Wa Bilioni 3.2 Wasainiwa

    May 07, 2025
  • BODI Ya Wakurugenzi wa Mamlaka Ya Maji Na Usafi Wa Mazingira Tunduru (TUUWASA) Yazinduliwa

    May 07, 2025
  • TUNDURU Yajizatiti Kukabiliana na Ugonjwa wa Mpox.

    March 27, 2025
  • TUNDURU Yaungana katika Dua na Iftar

    March 24, 2025
  • Ona Zote

Video

WANANCHI WAENDELEA KUPATIWA MAFUNZO KWA VITENDO ILI KUTATUA MIGONGANO YA BINADAMU NA WANYAPORI.
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.