• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MAFUNZO ELEKEZI KWA MADEREVA NA WENYE MAGARI BINAFSI KWENYE JAMII

Imewekwa : July 12th, 2023

UTEKELEZAJI WA MFUMO WA USAFIRISHAJI WA DHARURA WAJAWAZITO NA WATOTO WACHANGA.

"Kila mwaka katika nchi yetu akina mama wapatao 2,370,000 wanajifungua, kati yao elfu 45 wanapata dharura ya kuhitaji usafiri kwenda kwenye vituo vinavyotoa  huduma stahiki za afya ,ili wapate kusaidiwa, serikali kupitia wanaushirika wa maendeleo waliweza kuzindua mpango wa usafirishaji wa dharura wa akina mama wajawazito na watoto wachanga  (M-mama) ili kuhakikisha wanawake hawa na watoto wao wanapata usafiri wanapokuwa katika hali ya dharura ili  kufanya maisha yao yasiwe hatarini" (Rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania).


Katika utekelezaji wa mfumo wa usafirishaji wa dharura  wajawazito na watoto wachanga ,leo yamefanyika mafunzo elekezi  kwa madereva na wenye magari binafsi  kwenye jamii katika halmashauri ya wilaya ya Tunduru, ambapo katika mafunzo hayo walipata kufahamu mfumo huo wa rufaa na usafirishaji wa dharura ,usafi na usalama wakati wanatimiza jukumu hilo na pia mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kufanya usafirishaji wa dharura, mafunzo hayo yaliwezeshwa na  Victor Romward programm officer Pathfinder internetinal , sifaely waynse ,program officer Pathfunder  internatinal (Ruvuma) na Frida Metha ,Mratibu M-mama mkoa.

Aidha maratibu wa M-mama wilaya ya tunduru  Ndg. Renatus mathias  alisema , sisi leo tumefanya mafunzo kwa madereva watakaoshiriki katika kusafirisha wajawazito na watoto wachanga  kuwapeleka katika vituo stahiki kwaajili ya huduma za haraka, alisema maradi huu rasmi utaanza kufanya kazi katika wilaya ya Tunduru  kuanzia mwezi agosti mwaka huu ,alisema lengo kuu la mafunzo hayo ni kuwapatia elimu juu ya kuhudumia wakati wa majuku hayo ya kusafirisha wajawazito na watoto wachanga , na lengo kuu la mradi huu ni  kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi hasa kwa kucheleweshwa kwa wakina mama wajawazito na watoto wachanga kwenye kwenye vituo vya kitolea huduma za afya.


Kwa niaba ya jamii , mzee Mohamedi Gwaya kutoka kata ya mbesa ameipongeza serikali na wadau wa maendeleo kwa ujumla waliowezesha mradi huu wa M-mama  kwa kuwa unakuja kuwa mkombozi kwa jamii hasa za vijijini  kwa kuwezesha sasa uwezekano wa haraka wa kuwafikisha akina mama wajawazito na watoto wachanga katika vituo vya afya kwa  haraka na urahisi.


Mafunzo hayo yalihitimishwa kwa ujazwaji wa mikataba ya makubaliano  kwa madereva  jamii kushiriki kikamilivu katika mradi huu wa usafirishaji wa dharura  wajawazito na watoto wachanga (M-mama) katika wilaya ya Tunduru.


Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • SULUHU YA KUDUMU Maji Tunduru Yapatikana: Mkataba Wa Bilioni 3.2 Wasainiwa

    May 07, 2025
  • BODI Ya Wakurugenzi wa Mamlaka Ya Maji Na Usafi Wa Mazingira Tunduru (TUUWASA) Yazinduliwa

    May 07, 2025
  • TUNDURU Yajizatiti Kukabiliana na Ugonjwa wa Mpox.

    March 27, 2025
  • TUNDURU Yaungana katika Dua na Iftar

    March 24, 2025
  • Ona Zote

Video

WANANCHI WAENDELEA KUPATIWA MAFUNZO KWA VITENDO ILI KUTATUA MIGONGANO YA BINADAMU NA WANYAPORI.
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.