MAENDELEO YA JAMII
Jocelyne Mganga
Kaimu Mkuu wa Idara
IDADI YA WATUMISHI KATIKA IDARA
Idara ya Maendeleo ya Jamii ni miongoni mwa idara 13 za Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, Idara ina jumla ya watumishi 11 na Kaimu Mkuu wa idara mmoja ambaye anasimamia shuguli zote za idara na vitengo vyake vyote.
1.2. MAJUKUMU YA IDARA
Idara ya Maendeleo ya Jamii ina majukumu mbalimbali kama yafuatavyo :
1.3. VITENGO VYA IDARA;
Idara ya Maendeleo ya Jamii imegawanyika katika vitengo vikuu 03
kitengo cha Utafiti,Mipango na Miradi
kitengo cha Wanawake na watoto
Kitengo cha Kikosi cha Ujenzi.
kitengo cha Tasaf
1.4. HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA IDARA KWA JAMII
Idara inatoa huduma mbalimbali kwa jamii ikiwemo:
KITENGO CHA TASAF
IDADI YA WATUMISHI
MAJUKUMU YA KITENGO
Halmashauri ya Wilaya Tunduru
Anuani ya Posta: 275, TUNDURU
Simu: + 255-025-2680004
Simu ya Nununu:
Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz
Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.